Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 2:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

ila ng'ombe zao tuliwatwaa kuwa mawindo yetu, pamoja na nyara za miji tuliyoitwaa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyara zetu zilikuwa tu mifugo na mali yote tuliyokuta mijini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyara zetu zilikuwa tu mifugo na mali yote tuliyokuta mijini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyara zetu zilikuwa tu mifugo na mali yote tuliyokuta mijini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini mifugo na nyara tulizoziteka kutoka ile miji tulijichukulia wenyewe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini mifugo na nyara tulizoziteka kutoka ile miji tulijichukulia wenyewe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ila ng'ombe zao tuliwatwaa kuwa mawindo yetu, pamoja na nyara za miji tuliyoitwaa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 2:35
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kutoka Aroeri iliyo katika ukingo wa bonde la Arnoni, na huo mji ulio ndani ya bonde, mpaka kufika Gileadi, hapakuwa na mji uliokuwa na ngome ndefu ya kutushinda; BWANA, Mungu wetu, aliiweka wazi yote mbele yetu; ila nchi ya wana wa Amoni hukuisongelea;


lakini wanawake na watoto, na wanyama wa miji, na vilivyo mjini vyote, navyo ni nyara zake zote, uvitwae viwe mateka kwako; nawe utakula nyara za adui zako alizokupa BWANA, Mungu wako.


Lakini wanyama wote wa mji, na nyara za miji, tulitwaa kuwa mawindo yetu.


nawe utautenda mji wa Ai na mfalme wake kama ulivyoutenda mji wa Yeriko na mfalme wake; lakini nyara zake na wanyama wake wa mji mtavitwaa kuwa mateka yenu wenyewe; huo mji uuwekee waoteaji upande wa nyuma.


Isipokuwa mifugo na nyara za mji Israeli wakatwaa wenyewe kuwa ni mapato yao, sawasawa na hilo neno la BWANA alilomwamuru Yoshua.