Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 2:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hivi leo ivuke Ari, mpaka wa Moabu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

‘Leo hii mtauvuka mpaka wa Moabu kwa kupitia nchi ya Ari.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

‘Leo hii mtauvuka mpaka wa Moabu kwa kupitia nchi ya Ari.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

‘Leo hii mtauvuka mpaka wa Moabu kwa kupitia nchi ya Ari.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Leo utapita katika nchi ya Moabu huko Ari.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Leo utapita katika nchi ya Moabu huko Ari.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hivi leo ivuke Ari, mpaka wa Moabu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 2:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ufunuo juu ya Moabu. Maana katika usiku mmoja Ari wa Moabu umeharibiwa kabisa na kuangamizwa; maana katika usiku mmoja Kiri wa Moabu umeharibiwa kabisa na kuangamizwa.


Kutoka huko wakasafiri, wakapanga upande wa pili wa Arnoni, ulio jangwani, utokao katika mpaka wa Waamori; maana, Arnoni ndio mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori.


Na materemko ya hizo bonde Kwenye kuteremkia maskani ya Ari, Na kutegemea mpaka wa Moabu.


Lakini Sihoni hakukubali kumwacha Israeli kupita katika mpaka wake; bali Sihoni akawakutanisha watu wake wote, akatoka aende kupigana na Israeli jangwani, akafika mpaka Yahasa; akapigana na Israeli.


BWANA aliniambia, akasema,


BWANA akaniambia, Usiwasumbue Wamoabi, wala usishindane nao katika mapigano; kwa kuwa sitakupa katika nchi yake kuimiliki; kwa sababu Ari nimewapa wana wa Lutu kuimiliki.


Kisha akaenda nyikani na kuizunguka hiyo nchi ya Edomu, na nchi ya Moabu, nao wakapita upande wa mashariki mwa nchi ya Moabu, wakapiga kambi upande wa pili wa Arnoni; wala hawakuingia ndani ya mpaka wa Moabu, kwa maana Arnoni ilikuwa ni mpaka wa Moabu.