Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 18:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nawe ukisema moyoni mwako, Tutajuaje neno asilolinena BWANA?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Lakini nyinyi mwaweza kusema, ‘Tutawezaje kutambua neno ambalo Mwenyezi-Mungu hakulisema?’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Lakini nyinyi mwaweza kusema, ‘Tutawezaje kutambua neno ambalo Mwenyezi-Mungu hakulisema?’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Lakini nyinyi mwaweza kusema, ‘Tutawezaje kutambua neno ambalo Mwenyezi-Mungu hakulisema?’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mnaweza kuulizana wenyewe, “Tutawezaje kujua wakati ujumbe haukusemwa na Mwenyezi Mungu?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mnaweza kuulizana wenyewe, “Tutawezaje kujua wakati ujumbe haukusemwa na bwana?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nawe ukisema moyoni mwako, Tutajuaje neno asilolinena BWANA?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 18:21
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nabii atabiriye habari za amani, neno la nabii yule litakapotokea, ndipo nabii yule atakapojulikana, kweli kuwa BWANA amemtuma.


Nyamazeni, ninyi nyote wenye mwili, mbele za BWANA; kwa maana ameamka, na kutoka katika maskani yake takatifu.


Lakini nabii atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina langu, ambalo sikumwagiza kulinena, au atakayenena katika jina la miungu mingine, nabii yule atakufa.


Atakaponena nabii kwa jina la BWANA, lisifuate jambo lile wala kutimia, hilo ndilo neno asilolinena BWANA; kwa kujikinai amelinena huyo nabii, usimwogope.


Yeye ni mwaminifu ambaye awaita, naye atafanya.


Ninayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wanaojiita mitume, nao sio, ukawaona kuwa waongo;


Nao Waisraeli wote, toka Dani mpaka Beer-sheba, walitambua ya kwamba huyo Samweli amewekwa kuwa nabii wa BWANA.