Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 18:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

BWANA akaniambia, Wametenda vema kusema walivyosema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye Mwenyezi-Mungu akaniambia, ‘Wamesema ukweli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye Mwenyezi-Mungu akaniambia, ‘Wamesema ukweli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye Mwenyezi-Mungu akaniambia, ‘Wamesema ukweli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akaniambia: “Wanachosema ni vyema.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akaniambia: “Wanachosema ni vyema.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA akaniambia, Wametenda vema kusema walivyosema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 18:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana MUNGU amenipa ulimi wa hao wafundishwao, nipate kujua jinsi ya kumtegemeza kwa maneno yeye aliyechoka, huniamsha asubuhi baada ya asubuhi; huniamsha, sikio langu lipate kusikia kama watu wafundishwao.


Bwana MUNGU amenizibua sikio langu, wala sikuwa mkaidi, wala sikurudi nyuma.


Ndipo BWANA akaunyosha mkono wake, akanigusa kinywa changu; BWANA akaniambia, Tazama, nimetia maneno yangu kinywani mwako;


Mimi niwaiwanulia nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru.


Sasa basi, mbona tufe? Maana moto huu mkubwa utatuteketeza; tukiisikia tena sauti ya BWANA, Mungu wetu, tutakufa.


Naye BWANA akasikia sauti ya maneno yenu mliyoniambia; BWANA akaniambia, Nimesikia sauti ya maneno ya watu hawa waliyokuambia; wamesema vema yote waliyosema.