Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 18:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Uwe mkamilifu kwa BWANA, Mungu wako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Muwe wakamilifu mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Muwe wakamilifu mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Muwe wakamilifu mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kamwe msilaumiwe mbele za Mwenyezi Mungu, Mungu wenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kamwe msilaumiwe mbele za bwana Mwenyezi Mungu wenu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Uwe mkamilifu kwa BWANA, Mungu wako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 18:13
11 Marejeleo ya Msalaba  

Abramu alipokuwa mtu wa miaka tisini na tisa, BWANA akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu.


Hivi ndivyo vizazi vya Nuhu. Nuhu alikuwa mtu wa haki, mkamilifu katika vizazi vyake; Nuhu alikwenda pamoja na Mungu.


Mioyo yenu na iwe kamili kwa BWANA, Mungu wetu, kuenenda katika sheria zake, na kuzishika amri zake, kama ilivyo leo.


Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi, jina lake alikuwa akiitwa Ayubu; mtu huyo alikuwa mkamilifu na mwelekevu, ni mmoja aliyemcha Mungu, na kuepukana na uovu.


Kisha BWANA akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu.


Umwangalie sana mtu mkamilifu, Umtazame mtu mnyofu, Maana mwisho wake mtu huyo ni amani.


Basi ninyi iweni wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.


Si kwamba nimekwisha kufika, au nimekwisha kuwa mkamilifu; la! Bali nakaza mwendo ili nipate kulishika lile ambalo kwa ajili yake nimeshikwa na Kristo Yesu.


Basi sisi tulio wakamilifu na tuwaze hayo; na hata mkiwaza mengine katika jambo lolote, Mungu atawafunulia hilo nalo.


Basi sasa mcheni BWANA, mkamtumikie kwa unyofu wa moyo na kwa kweli; na kuiweka mbali miungu ambayo baba zenu waliitumikia ng'ambo ya Mto, na huko Misri; mkamtumikie yeye BWANA.


Uwe mwenye kukesha, ukayaimarishe mambo yaliyobakia, yanayotaka kufa. Maana sikuona matendo yako kuwa yametimilika mbele za Mungu wangu.