tena watu wa nchi wakitembeza biashara, au chakula chochote, siku ya sabato, tusinunue kwao siku ya sabato, au siku takatifu; tena mwaka wa saba tusiliwe na madeni yote tuyafute.
Kumbukumbu la Torati 15:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Kila miaka saba, mwisho wake, fanya maachilio. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema “Kila mwisho wa mwaka wa saba mtawasamehe wadeni wenu wote. Biblia Habari Njema - BHND “Kila mwisho wa mwaka wa saba mtawasamehe wadeni wenu wote. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza “Kila mwisho wa mwaka wa saba mtawasamehe wadeni wenu wote. Neno: Bibilia Takatifu Kila mwisho wa miaka saba ni lazima mfute madeni. Neno: Maandiko Matakatifu Kila mwisho wa miaka saba ni lazima mfute madeni. BIBLIA KISWAHILI Kila miaka saba, mwisho wake, fanya maachilio. |
tena watu wa nchi wakitembeza biashara, au chakula chochote, siku ya sabato, tusinunue kwao siku ya sabato, au siku takatifu; tena mwaka wa saba tusiliwe na madeni yote tuyafute.
Ukimnunua mtumwa wa Kiebrania, atakutumikia muda wa miaka sita; mwaka wa saba atatoka kwako huru bure.
Mwisho wa kila mwaka wa saba kila mtu na amwache huru ndugu yake aliye Mwebrania, aliyeuzwa kwako na kukutumikia miaka sita utamwacha atoke kwako huru, lakini baba zenu hawakunisikiliza, wala hawakutega masikio yao.
Na jinsi ya maachilio ni hii, kila mkopeshaji na akiache alichomkopesha mwenziwe, wala asimlipize mwenziwe wala nduguye; kwa kuwa imepigwa mbiu ya maachilio ya BWANA.
Jitunze, msiwe na neno lisilofaa moyoni mwako, kusema, Umekaribia mwaka wa saba, mwaka wa maachilio; jicho lako likawa ovu juu ya nduguyo usimpe kitu; naye akamlilia BWANA juu yako, ikawa ni dhambi kwako.
Musa, akawaamuru, akasema, Mwisho wa kila mwaka wa saba, wakati wa maachilio, wakati ulioamriwa wa sikukuu ya vibanda,