Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 15:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kila miaka saba, mwisho wake, fanya maachilio.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Kila mwisho wa mwaka wa saba mtawasamehe wadeni wenu wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Kila mwisho wa mwaka wa saba mtawasamehe wadeni wenu wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Kila mwisho wa mwaka wa saba mtawasamehe wadeni wenu wote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kila mwisho wa miaka saba ni lazima mfute madeni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kila mwisho wa miaka saba ni lazima mfute madeni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kila miaka saba, mwisho wake, fanya maachilio.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 15:1
11 Marejeleo ya Msalaba  

tena watu wa nchi wakitembeza biashara, au chakula chochote, siku ya sabato, tusinunue kwao siku ya sabato, au siku takatifu; tena mwaka wa saba tusiliwe na madeni yote tuyafute.


Ukimnunua mtumwa wa Kiebrania, atakutumikia muda wa miaka sita; mwaka wa saba atatoka kwako huru bure.


Mwisho wa kila mwaka wa saba kila mtu na amwache huru ndugu yake aliye Mwebrania, aliyeuzwa kwako na kukutumikia miaka sita utamwacha atoke kwako huru, lakini baba zenu hawakunisikiliza, wala hawakutega masikio yao.


Na jinsi ya maachilio ni hii, kila mkopeshaji na akiache alichomkopesha mwenziwe, wala asimlipize mwenziwe wala nduguye; kwa kuwa imepigwa mbiu ya maachilio ya BWANA.


Jitunze, msiwe na neno lisilofaa moyoni mwako, kusema, Umekaribia mwaka wa saba, mwaka wa maachilio; jicho lako likawa ovu juu ya nduguyo usimpe kitu; naye akamlilia BWANA juu yako, ikawa ni dhambi kwako.


Musa, akawaamuru, akasema, Mwisho wa kila mwaka wa saba, wakati wa maachilio, wakati ulioamriwa wa sikukuu ya vibanda,