Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 11:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

baraka ni hapo mtakapoyafuata maagizo ya BWANA, Mungu wenu, niwaagizayo leo;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baraka, kama mtatii amri za Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, ambazo nawapeni hivi leo;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baraka, kama mtatii amri za Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, ambazo nawapeni hivi leo;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

baraka, kama mtatii amri za Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, ambazo nawapeni hivi leo;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

baraka kama mtatii maagizo ya Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, ninayowapa leo;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

baraka kama mtatii maagizo ya bwana Mwenyezi Mungu wenu, ambayo ninawapa leo;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

baraka ni hapo mtakapoyafuata maagizo ya BWANA, Mungu wenu, niwaagizayo leo;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 11:27
14 Marejeleo ya Msalaba  

Tena mtumishi wako huonywa kwazo, Katika kuzishika kuna thawabu kuu.


Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi;


Waambieni wenye haki ya kuwa watakuwa heri, kwa maana watakula matunda ya matendo yao


Niliyowaamuru baba zenu, siku ile nilipowatoa katika nchi ya Misri, katika tanuri ya chuma, nikisema, Itiini sauti yangu, mkafanye sawasawa na yote niwaagizayo ninyi; ndivyo mtakavyokuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wenu;


Lakini yeye alisema, Afadhali, heri walisikiao neno la Mungu na kulishika.


Mkiyajua hayo, heri ninyi mkiyatenda.


wale ambao kwa subira katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutoharibika, watapewa uzima wa milele;


Lakini aliyeitazama sheria kamilifu iliyo ya uhuru, na kukaa humo, asiwe msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi, huyo atakuwa heri katika kutenda kwake.


Heri wazifuao nguo zao, ili wawe na haki ya kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.