Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 1:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nami wakati ule niliwaambia, nikasema, Mimi siwezi kuwachukua peke yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mose akawaambia watu, “Tulipokuwa bado mlimani Sinai, mimi niliwaambieni hivi: ‘Jukumu la kuwaongozeni ni kubwa mno kwangu mimi peke yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mose akawaambia watu, “Tulipokuwa bado mlimani Sinai, mimi niliwaambieni hivi: ‘Jukumu la kuwaongozeni ni kubwa mno kwangu mimi peke yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mose akawaambia watu, “Tulipokuwa bado mlimani Sinai, mimi niliwaambieni hivi: ‘Jukumu la kuwaongozeni ni kubwa mno kwangu mimi peke yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakati ule niliwaambia, “Ninyi mmekuwa mzigo mzito sana kwangu kuwachukua peke yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati ule niliwaambia, “Ninyi mmekuwa mzigo mzito sana kwangu kuwachukua peke yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami wakati ule niliwaambia, nikasema, Mimi siwezi kuwachukua peke yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 1:9
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kweli utajidhoofisha mwenyewe, na hawa watu walio pamoja nawe pia; maana jambo hili ni zito mno kwako; huwezi wewe kulitenda peke yako.


Basi Musa akasikiza neno la mkwewe, akayafanya yote aliyokuwa amemwambia.


Nami nitashuka niseme nawe huko, nami nitatwaa sehemu ya roho iliyo juu yako na kuiweka juu yao; nao watachukua mzigo wa watu hawa pamoja nawe, ili usiuchukue wewe peke yako.


Basi wazee wa mji ule na wamtwae yule mtu mume na kumrudi,