Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 1:45 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mkarudi mkalia mbele za BWANA; BWANA asiisikize sauti yenu, wala hakuelekeza masikio yake kwenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndipo mliporudi, mkamlilia Mwenyezi-Mungu, lakini Mwenyezi-Mungu hakuwasikiliza wala hakuwajali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndipo mliporudi, mkamlilia Mwenyezi-Mungu, lakini Mwenyezi-Mungu hakuwasikiliza wala hakuwajali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndipo mliporudi, mkamlilia Mwenyezi-Mungu, lakini Mwenyezi-Mungu hakuwasikiliza wala hakuwajali.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mlirudi na kulia mbele za Mwenyezi Mungu, lakini Mungu hakusikiliza kilio chenu, wala hakuwajali.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mlirudi na kulia mbele za bwana, lakini Mungu hakusikiliza kilio chenu, wala hakuwajali.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mkarudi mkalia mbele za BWANA; BWANA asiisikize sauti yenu, wala hakuelekeza masikio yake kwenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 1:45
9 Marejeleo ya Msalaba  

Maana tumaini la mpotovu ni nini, ingawa ajipatia faida, Hapo Mungu amwondoleapo roho yake?


Je! Mungu atakisikia kilio chake, Taabu zitakapomfikia?


Kama ningaliwaza maovu moyoni mwangu, Bwana asingesikia.


Alipowaua ndipo walipokuwa wakimtafuta; Wakarudi wakamtaka Mungu kwa bidii.


Bali mmeupuuza ushauri wangu, Wala hamkutaka maonyo yangu;


Ndipo watakaponiita, lakini sitaitika; Watanitafuta kwa bidii, wasinione.


Akaanza kutoka Musa na manabii wote, akawaeleza katika maandiko yote mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe.


Tunajua ya kuwa Mungu hawasikii wenye dhambi; bali mtu akiwa ni mcha Mungu, na kuyafanya mapenzi yake, humsikia huyo.


Maana mnajua ya kuwa hata alipotaka baadaye kuirithi baraka, alikataliwa (maana hakuona nafasi ya kutubu), ijapokuwa aliitafuta sana kwa machozi.