Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 1:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

BWANA akaisikia sauti ya maneno yenu, akaghadhibika, akaapa, akasema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Mwenyezi-Mungu aliyasikia manunguniko yenu, akakasirika, akaapa akisema:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Mwenyezi-Mungu aliyasikia manunguniko yenu, akakasirika, akaapa akisema:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Mwenyezi-Mungu aliyasikia manung'uniko yenu, akakasirika, akaapa akisema:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu aliposikia lile mlilosema, alikasirika, akaapa kwamba:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati bwana aliposikia lile mlilosema, alikasirika, akaapa, akasema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA akaisikia sauti ya maneno yenu, akaghadhibika, akaapa, akasema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 1:34
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu alisikia, akaghadhibika, Akamkataa Israeli kabisa.


Ndipo Nikaapa kwa hasira yangu Hawataingia katika pumziko langu.


Tena niliwainulia mkono wangu jangwani, ya kwamba sitawaingiza katika nchi ile niliyokuwa nimewapa, itiririkayo maziwa na asali, ambayo ni utukufu wa nchi zote;


Na tazama, ninyi kizazi cha watu wenye dhambi, mmeinuka badala ya baba zenu ili kuongeza tena hizo hasira kali za BWANA juu ya Israeli.


Tena ni akina nani aliowaapia ya kwamba hawataingia katika pumziko lake, ila wale walioasi?