Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 62:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nawe utakuwa taji la uzuri katika mkono wa BWANA, na kilemba cha kifalme mkononi mwa Mungu wako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Utakuwa taji zuri mkononi mwa Mwenyezi-Mungu; kilemba cha kifalme mkononi mwa Mungu wako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Utakuwa taji zuri mkononi mwa Mwenyezi-Mungu; kilemba cha kifalme mkononi mwa Mungu wako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Utakuwa taji zuri mkononi mwa Mwenyezi-Mungu; kilemba cha kifalme mkononi mwa Mungu wako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Utakuwa taji la fahari mkononi mwa Mwenyezi Mungu, taji la kifalme mkononi mwa Mungu wako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Utakuwa taji ya fahari mkononi mwa bwana, taji ya kifalme mkononi mwa Mungu wako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nawe utakuwa taji la uzuri katika mkono wa BWANA, na kilemba cha kifalme mkononi mwa Mungu wako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 62:3
5 Marejeleo ya Msalaba  

Hakika ningeyachukua mabegani; Ningejifunga mfano wa kilemba.


Katika siku ile BWANA wa majeshi atakuwa ni taji la fahari, na kilemba cha uzuri, kwa mabaki ya watu wake.


Na BWANA, Mungu wao, atawaokoa siku hiyo, Kama kundi la watu wake; Kwa maana watakuwa kama vito vya taji, Vikimetameta juu ya nchi yake.


Atukuzwe Mungu juu mbinguni, Na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.


Maana tumaini letu, au furaha yetu, au taji la kujionea fahari, ni nini? Je! Si ninyi, mbele za Bwana wetu Yesu, wakati wa kuja kwake?