Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 50:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Bwana MUNGU amenizibua sikio langu, wala sikuwa mkaidi, wala sikurudi nyuma.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Bwana Mungu amenifanya msikivu, nami sikuwa mkaidi wala kugeuka mbali naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Bwana Mungu amenifanya msikivu, nami sikuwa mkaidi wala kugeuka mbali naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Bwana Mungu amenifanya msikivu, nami sikuwa mkaidi wala kugeuka mbali naye.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bwana Mungu Mwenyezi amezibua masikio yangu, nami sikuwa mwasi, wala sikurudi nyuma.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana Mwenyezi amezibua masikio yangu, nami sikuwa mwasi, wala sikurudi nyuma.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bwana MUNGU amenizibua sikio langu, wala sikuwa mkaidi, wala sikurudi nyuma.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 50:5
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha hatutakuacha kwa kurudi nyuma; Utuhuishe nasi tutaliitia jina lako.


Ndipo macho ya vipofu yatafumbuliwa, na masikio ya viziwi yatazibuliwa.


Naam, hukusikia; naam, hukujua; naam, tokea zamani sikio lako halikuzibuka; maana nilijua ya kuwa wewe watenda kwa hila nyingi, nawe umeitwa mkosaji tangu kuzaliwa kwako;


Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniondokee; lakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.


Lakini ulimwengu ujue ya kuwa nampenda Baba; na kama vile Baba alivyoniamuru; ndivyo nifanyavyo. Ondokeni, twendeni zetu.


Mkizishika amri zangu, mtakaa katika pendo langu; kama vile mimi nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.


Naye aliyenituma yu pamoja nami, hakuniacha peke yangu; kwa sababu nafanya sikuzote yale yampendezayo.


Kwa hiyo, Ee Mfalme Agripa, sikuyaasi yale maono ya mbinguni,


BWANA akaniambia, Wametenda vema kusema walivyosema.


tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.


na, ingawa ni Mwana, alijifunza kutii kwa mateso hayo yaliyompata;