Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 42:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wamtukuze BWANA, Na kutangaza sifa zake visiwani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wote wakaao nchi za mbali, na wamtukuze na kumsifu Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wote wakaao nchi za mbali, na wamtukuze na kumsifu Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wote wakaao nchi za mbali, na wamtukuze na kumsifu Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wampe Mwenyezi Mungu utukufu, na kutangaza sifa zake katika visiwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wampe bwana utukufu, na kutangaza sifa zake katika visiwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wamtukuze BWANA, Na kutangaza sifa zake visiwani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 42:12
14 Marejeleo ya Msalaba  

Miisho yote ya dunia itakumbuka, Na watu watamrejea BWANA; Jamaa zote za mataifa watamsujudia.


Imbeni utukufu wa jina lake, Tukuzeni sifa zake.


BWANA ametamalaki, nchi na ishangilie, Visiwa vingi na vifurahi.


Na katika siku hiyo mtasema, Mshukuruni BWANA, liitieni jina lake; Yatangazeni matendo yake kati ya mataifa, Litangazeni jina lake kuwa limetukuka.


Hatazimia, wala hatakata tamaa, hata atakapoweka hukumu duniani; na visiwa vitaingojea sheria yake.


watu wale niliojiumbia nafsi yangu, ili wazitangaze sifa zangu.


Kwa hiyo mtafanya sanamu za majipu yenu, na sanamu za panya wenu wanaoiharibu nchi; nanyi mtamtukuza huyo Mungu wa Israeli; huenda ataupunguza uzito wa mkono wake juu yenu, na juu ya miungu yenu, na juu ya nchi yenu.