Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 40:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

ndiye awatanguaye wakuu, na kuwabatilisha waamuzi wa dunia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye huwaporomosha wakuu wenye nguvu, watawala wa dunia huwafanya kuwa si kitu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye huwaporomosha wakuu wenye nguvu, watawala wa dunia huwafanya kuwa si kitu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye huwaporomosha wakuu wenye nguvu, watawala wa dunia huwafanya kuwa si kitu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huwafanya wakuu kuwa si kitu, na kuwashusha watawala wa dunia hii kuwa kitu bure.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huwafanya wakuu kuwa si kitu, na kuwashusha watawala wa dunia hii kuwa kitu bure.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ndiye awatanguaye wakuu, na kuwabatilisha waamuzi wa dunia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 40:23
16 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye huwaondoa makuhani wakiwa wamevuliwa nguo. Na kuwapindua mashujaa.


Humwaga aibu juu ya hao wakuu, Na kulegeza mshipi wa wenye nguvu.


Aliwamwagia wakuu dharau, Na kuwazungusha katika nyika isiyo na njia.


Yeye huzikata roho za wakuu; Na kuwatisha wafalme wa dunia.


Macho ya mwanadamu yaliyoinuka yatashushwa chini, na kiburi cha mwanadamu kitainamishwa, naye BWANA, yeye peke yake, atatukuzwa siku hiyo.


Kwa maana kutakuwa siku ya BWANA wa majeshi juu ya watu wote wenye kiburi na majivuno, na juu ya yote yaliyoinuka; nayo yatashushwa chini.


BWANA wa majeshi ndiye aliyefanya shauri hili, ili kuharibu kiburi cha utukufu wote, na kuwaaibisha watu wa duniani wote pia.


Watawaitia wakuu wake ufalme, lakini hawatakuwapo; wakuu wake wote wamekuwa si kitu.


Ole wao walio na hekima katika macho yao wenyewe, na wenye busara katika fikira zao wenyewe!


nami nitamkatilia mbali mwamuzi atoke kati yake, nami nitawaua wakuu wake pamoja naye, asema BWANA.