Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 40:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mataifa yote huwa kama si kitu mbele zake; huhesabiwa kwake kuwa duni kabisa na batili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mataifa yote si kitu mbele yake; kwake ni vitu duni kabisa na batili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mataifa yote si kitu mbele yake; kwake ni vitu duni kabisa na batili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mataifa yote si kitu mbele yake; kwake ni vitu duni kabisa na batili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mbele yake mataifa yote ni kama si kitu, yanaonekana yasio na thamani na zaidi ya bure kabisa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mbele yake mataifa yote ni kama si kitu, yanaonekana yasio na thamani na zaidi ya bure kabisa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mataifa yote huwa kama si kitu mbele zake; huhesabiwa kwake kuwa duni kabisa na batili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 40:17
8 Marejeleo ya Msalaba  

Seuze mtu, aliye mdudu! Na mwanadamu, ambaye ni buu!


Msiitumainie dhuluma, Wala msijivune kwa unyang'anyi; Mali izidipo msiiangalie sana moyoni.


Hakika binadamu ni ubatili, Na wenye cheo ni uongo, Katika mizani huinuka; Wote pamoja ni hafifu kuliko ubatili.


Mwacheni mwanadamu ambaye pumzi yake iko katika mianzi ya pua yake; kwa maana wanafaa kitu gani?


Na wingi wa mataifa wapiganao na Arieli, wote wapiganao naye na ngome yake, na wanaomwudhi, watakuwa kama ndoto, na maono ya usiku.


Nawe utafukuzwa mbali na wanadamu, na makao yako yatakuwa pamoja na wanyama wa mwituni; utalishwa majani kama ng'ombe, na nyakati saba zitapita juu yako, hata utakapojua ya kuwa Aliye Juu ndiye anayemiliki katika ufalme wa wanadamu, naye humpa amtakaye, awaye yote.


Nimekuwa mpumbavu, ninyi mmenilazimisha. Maana ilinipasa nisifiwe na ninyi; kwa sababu sikuwa duni ya mitume walio wakuu kwa lolote, nijapokuwa si kitu.