Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 37:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Njia ile ile aliyoijia, kwa njia hiyo atarudi zake, wala hataingia ndani ya mji huu; asema BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Atarudi kwa njia ileile aliyojia na wala hataingia katika mji huu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimetamka hayo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Atarudi kwa njia ileile aliyojia na wala hataingia katika mji huu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimetamka hayo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Atarudi kwa njia ileile aliyojia na wala hataingia katika mji huu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimetamka hayo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa njia ile aliyoijia ndiyo atakayorudi; hataingia katika mji huu,” asema Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa njia ile aliyoijia ndiyo atakayorudi; hataingia katika mji huu,” asema bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Njia ile ile aliyoijia, kwa njia hiyo atarudi zake, wala hataingia ndani ya mji huu; asema BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 37:34
4 Marejeleo ya Msalaba  

Hapana hekima, wala ufahamu, Wala shauri, juu ya BWANA.


Hutawaona watu wale wakali; watu wa maneno magumu usiyoweza kuyafahamu; wenye lugha ya kigeni usiyoweza kuielewa.


Kwa sababu ya kunighadhibikia kwako, na kwa sababu kutakabari kwako kumefika masikioni mwangu, nitatia kulabu yangu katika pua yako, na hatamu yangu midomoni mwako, nami nitakurudisha kwa njia ile ile uliyoijia.


Nami nitaulinda mji huu, niuokoe kwa ajili yangu mwenyewe, na kwa ajili ya Daudi, mtumishi wangu.