Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 3:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na pete za masikio, na vikuku, na mataji yao;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

vipuli, vikuku, shungi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

vipuli, vikuku, shungi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

vipuli, vikuku, shungi,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

vipuli, vikuku, shela,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

vipuli, vikuku, shela,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na pete za masikio, na vikuku, na mataji yao;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 3:19
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, ngamia walipokwisha kunywa, yule mtu akatwaa pete ya dhahabu, uzani wake ulikuwa nusu shekeli, na vikuku viwili kwa mikono yake, uzani wake ulikuwa shekeli kumi za dhahabu,


Ikawa, alipoiona ile pete, na vikuku mikononi mwa dada yake, akasikia maneno ya Rebeka dada yake, akisema, Hivyo ndivyo alivyoniambia mtu huyo, basi akamjia mtu yule, na tazama, amesimama karibu na ngamia kisimani.


Kisha huyo mtumishi akatoa vyombo vya fedha, na vyombo vya dhahabu, na mavazi, akampa Rebeka; na vitu vya thamani akampa nduguye na mamaye pia.


Nao wakampa Yakobo miungu migeni yote iliyokuwa mikononi mwao, na vipuli vilivyokuwa masikioni mwao, naye Yakobo akazificha chini ya mwaloni ulioko Shekemu.


Akasema, Nikupe rehani gani? Akamjibu, Pete yako ya mhuri, na kamba yake, na fimbo yako iliyo mkononi mwako. Basi akampa, akaingia kwake, naye akapata mimba.


Alipotolewa, alituma watu kwa mkwewe, akisema, Mimi nimepewa mimba na mtu mwenye vitu hivi. Akasema, Tambua basi, vitu hivi ni vya nani, pete hii, na kamba hii, na fimbo hii.


Haruni akawaambia, Zivunjeni pete za dhahabu zilizo katika masikio ya wake zenu, na wana wenu, na binti zenu, mniletee.


Watu wote wakazivunja pete za dhahabu zilizo katika masikio yao, wakamletea Haruni.


Nao wakaja, wanaume kwa wanawake, wote waliokuwa na moyo wa kupenda, wakaleta vipini, hazama, pete za mhuri, vikuku na vyombo vyote vya dhahabu; kila mtu aliyetoa toleo la dhahabu la kumpa BWANA.


Siku hiyo BWANA atawaondolea uzuri wa njuga zao, na kaya zao;


na dusumali, na mafurungu, na vitambi, na vibweta vya marashi, na matalasimu;


Nikakupamba kwa mapambo pia, nikatia vikuku mikononi mwako, na mkufu shingoni mwako.


Nikatia kishaufu puani mwako, na herini masikioni mwako, na taji zuri juu ya kichwa chako.


Nasi tumeleta matoleo ya BWANA, aliyopata kila mtu, ya vyombo vya dhahabu, na mitali, na timbi, na pete za mhuri, na vipini, na vikuku, ili kuzifanyia upatanisho nafsi zetu mbele ya BWANA.