Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 3:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Siku hiyo BWANA atawaondolea uzuri wa njuga zao, na kaya zao;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku yaja ambapo Mwenyezi-Mungu atawanyanganya wanawake wa Yerusalemu vitu vyote wanavyoringia: Njuga, kaya, mikufu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku yaja ambapo Mwenyezi-Mungu atawanyanganya wanawake wa Yerusalemu vitu vyote wanavyoringia: Njuga, kaya, mikufu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku yaja ambapo Mwenyezi-Mungu atawanyang'anya wanawake wa Yerusalemu vitu vyote wanavyoringia: njuga, kaya, mikufu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Katika siku ile Bwana atawanyang’anya uzuri wao: bangili, tepe za kichwani, mikufu yenye alama za mwezi mwandamo,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Katika siku ile Bwana atawanyang’anya uzuri wao: bangili, tepe za kichwani, mikufu yenye alama za mwezi mwandamo,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku hiyo BWANA atawaondolea uzuri wa njuga zao, na kaya zao;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 3:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, kwa hiyo, Bwana atawapiga binti za Sayuni kwa pele za utosini, na BWANA ataifunua aibu yao.


na pete za masikio, na vikuku, na mataji yao;


Pia watakuvua nguo zako, na kukunyang'anya johari zako uzuri.


Tena mmewatuma watu kuwaita watokao mbali; ambao mjumbe alitumwa kwao, na tazama, wakaja; nawe ulijiosha kwa ajili yao, ulitia rangi macho yako, na kuremba kwa mapambo mazuri;


Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi;


Ndipo hapo Zeba na Salmuna wakasema, Simama wewe utuue sisi; kwa maana kama mtu alivyo, ndivyo zilivyo nguvu zake. Basi Gideoni akasimama, akawaua Zeba na Salmuna, akazitwaa koja zilizokuwa katika shingo za ngamia wao.


Na uzani wa hizo herini za dhahabu alizozitaka ulipata shekeli za dhahabu elfu moja na mia saba; mbali na makoja na vidani, na mavazi ya rangi ya zambarau waliyokuwa wameyavaa hao wafalme wa Midiani, tena mbali na mikufu iliyokuwa katika shingo za ngamia wao.