Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 28:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa maana Mungu wake anamwagiza vizuri na kumfundisha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu huyo huwa anajua la kufanya, kwa sababu Mungu wake humfundisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu huyo huwa anajua la kufanya, kwa sababu Mungu wake humfundisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu huyo huwa anajua la kufanya, kwa sababu Mungu wake humfundisha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mungu wake humwelekeza na kumfundisha njia iliyo sahihi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mungu wake humwelekeza na kumfundisha njia iliyo sahihi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana Mungu wake anamwagiza vizuri na kumfundisha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 28:26
13 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini hakika imo roho ndani ya mwanadamu, Na pumzi ya Mwenyezi ndiyo impayo ufahamu.


Atufundishaye zaidi ya wanyama wa nchi, Na kutufanya wenye hekima kuliko ndege wa angani?


Kwa sababu Mungu amemnyima akili, Wala hakumpa fahamu.


Na ahimidiwe BWANA, mwamba wangu, Aifundishaye mikono yangu vita, Na vidole vyangu kupigana.


Awaadibuye mataifa, asikemee? Amfundishaye mwanadamu, asijue?


Nawe utawaambia watu wote wenye uwezo wa hali ya juu, niliowapa ubingwa wamfanyie Haruni mavazi ili awekwe wakfu anitumikie katika kazi ya ukuhani.


Basi Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu, na kila mtu aliyekuwa na moyo wa akili, ambaye BWANA alimtia moyoni mwake hekima, kila mtu ambaye moyo wake ulimhimiza ili aende kuifanya kazi hiyo;


Akiisha kuulainisha uso wa nchi yake, je! Hamwagi huku na huko kunde, na kutupatupa jira, na kuitia ngano safu safu, na shayiri mahali pake palipochaguliwa, na kusemethi karibu na mipaka yake?


Kwa maana kunde zile hazipurwi kwa chombo kikali, wala gurudumu la gari halipitishwi huku na huko juu ya jira ile, bali kunde zile hupurwa kwa fimbo, na jira ile kwa ufito.


Atamfundisha nani maarifa? Atamfahamisha nani habari hii? Je! Ni wale walioachishwa maziwa, walioondolewa matitini?


Basi, kwa habari za hao vijana wanne, Mungu aliwapa maarifa na ujuzi katika elimu na hekima; Danieli naye alikuwa na ufahamu katika maono yote, na ndoto.


Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu, hushuka kwa Baba wa mianga; kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeukageuka.