Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 28:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Mwenye kulima alima daima, ili apande? Afunua daima madongoa ya nchi yake, na kuyavunja?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, alimaye ili kupanda hulima tu? Je, huendelea kulima na kusawazisha shamba lake?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, alimaye ili kupanda hulima tu? Je, huendelea kulima na kusawazisha shamba lake?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, alimaye ili kupanda hulima tu? Je, huendelea kulima na kusawazisha shamba lake?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mkulima anapolima ili apande, je, hulima siku zote? Je, huendelea kubomoa ardhi na kusawazisha udongo?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati mkulima alimapo ili apande, je, hulima siku zote? Je, huendelea kubomoa ardhi na kusawazisha udongo?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Mwenye kulima alima daima, ili apande? Afunua daima madongoa ya nchi yake, na kuyavunja?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 28:24
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati wa kuzaliwa, na wakati wa kufa; Wakati wa kupanda, na wakati wa kung'oa kilichopandwa;


Tegeni masikio, sikieni sauti yangu, sikilizeni mkasikie neno langu.


Akiisha kuulainisha uso wa nchi yake, je! Hamwagi huku na huko kunde, na kutupatupa jira, na kuitia ngano safu safu, na shayiri mahali pake palipochaguliwa, na kusemethi karibu na mipaka yake?


Maana BWANA awaambia hivi watu wa Yuda na Yerusalemu Ulimeni udongo katika konde zenu, wala msipande mbegu kati ya miiba.