Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 19:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na nguzo za nchi zitavunjika vipande vipande, wote wafanyao kazi ya mshahara watahuzunika nafsini mwao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wafuma nguo watafedheheshwa, na vibarua watahuzunika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wafuma nguo watafedheheshwa, na vibarua watahuzunika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wafuma nguo watafedheheshwa, na vibarua watahuzunika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wafanyao kazi ya kufuma nguo watahuzunishwa, nao vibarua wataugua moyoni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wafanyao kazi ya kufuma nguo watahuzunishwa, nao vibarua wataugua moyoni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na nguzo za nchi zitavunjika vipande vipande, wote wafanyao kazi ya mshahara watahuzunika nafsini mwao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 19:10
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yusufu akawajia asubuhi, akawaona wamefadhaika.


Kama misingi ikiharibika, Mwenye haki atafanya nini?


BWANA akamwambia Musa, Mwambie Haruni, Shika fimbo yako, kaunyoshe mkono wako juu ya maji ya Misri, juu ya mito yao, juu ya vijito vyao, na juu ya maziwa ya maji yao, na juu ya visima vyao vyote vya maji, ili yageuke kuwa damu, nako kutakuwa na damu katika nchi yote ya Misri, katika vyombo vya mti, na katika vyombo vya jiwe.


BWANA akamwambia Musa, Mwambie Haruni, Nyosha mkono wako na fimbo yako juu ya mito, juu ya vijito, na juu ya maziwa ya maji, ukawalete vyura waje juu ya nchi yote ya Misri.


Kwa kuwa nchi mwingiayo kuimiliki, si mfano wa nchi ya Misri mlikotoka, uliyokuwa ukipanda mbegu zako humo na kuinyunyizia maji kwa mguu wako, kama shamba la mboga;