Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 14:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ufunuo huu ulikuja mwaka ule alipokufa mfalme Ahazi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwaka alipofariki mfalme Ahazi, Mungu alitoa kauli hii:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwaka alipofariki mfalme Ahazi, Mungu alitoa kauli hii:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwaka alipofariki mfalme Ahazi, Mungu alitoa kauli hii:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Neno hili lilikuja mwaka ule Mfalme Ahazi alipofariki:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Neno hili lilikuja mwaka ule Mfalme Ahazi alipofariki:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ufunuo huu ulikuja mwaka ule alipokufa mfalme Ahazi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 14:28
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ahazi akalala na babaze, akazikwa pamoja na babaze katika mji wa Daudi; na Hezekia mwanawe akatawala mahali pake.


Na katika kila mji wa Yuda akafanya mahali pa juu pa kuifukizia miungu mingine uvumba, akamkasirisha BWANA, Mungu wa babaze.


Ahazi akalala na babaze, wakamzika mjini, yaani, Yerusalemu; maana hawakumleta makaburini mwa wafalme wa Israeli; na Hezekia mwanawe akatawala mahali pake.


Ufunuo juu ya Babeli; maono aliyoyaona Isaya, mwana wa Amozi.


Katika mwaka ule aliokufa mfalme Uzia nilimwona Bwana ameketi katika kiti cha enzi, kilicho juu sana na kuinuliwa sana, na pindo za vazi lake zikalijaza hekalu.


Bwana MUNGU asema hivi; Kwa kuwa Wafilisti wametenda mambo kwa kujilipiza kisasi, nao wamejilipiza kisasi kwa moyo wa ujeuri, ili kupaangamiza kwa uadui wa daima;


Ashkeloni ataona haya na kuogopa; Gaza pia, naye atafadhaika sana; na Ekroni, kwa maana matarajio yake yatatahayarika; na mfalme ataangamia toka Gaza, na Ashkeloni atakuwa hana watu.