Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hosea 2:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa maana nitayaondoa majina ya Mabaali kinywani mwake, wala hawatatajwa tena kwa majina yao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana, nitalifanya jina la Baali lisitamkike tena kinywani mwako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana, nitalifanya jina la Baali lisitamkike tena kinywani mwako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana, nitalifanya jina la Baali lisitamkike tena kinywani mwako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitaondoa majina ya Mabaali kutoka mdomoni mwake, wala hataomba tena kwa majina yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitaondoa majina ya Mabaali kutoka midomoni mwake, wala hataomba tena kwa majina yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana nitayaondoa majina ya Mabaali kinywani mwake, wala hawatatajwa tena kwa majina yao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hosea 2:17
8 Marejeleo ya Msalaba  

Huzuni zao zitaongezeka Wambadilio Mungu kwa mwingine; Sitazimimina sadaka zao za damu, Wala kuyataja majina yao midomoni mwangu.


Ndipo Musa na wana wa Israeli wakamwimbia BWANA wimbo huu wakanena, na kusema, Nitamwimbia BWANA, kwa maana ametukuka sana; Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini.


Yaangalieni hayo yote niliyowaambia; wala msitaje kabisa majina ya miungu mingine, wala yasisikizwe kutoka kinywani mwako.


Mtawaambia hivi, Miungu hiyo isiyofanya mbingu na nchi, hiyo itaangamia katika nchi, nayo itatoweka chini ya mbingu.


Nenda ukalie masikioni mwa Yerusalemu, ukisema, BWANA asema hivi, Nakukumbuka, hisani ya ujana wako, upendo wa wakati wa kuposwa kwako; Jinsi ulivyonifuata huko jangwani, katika nchi isiyopandwa mbegu.


Kisha itakuwa katika siku hiyo, asema BWANA wa majeshi, nitakatilia mbali majina ya sanamu katika nchi, yasikumbukwe tena; pia nitawafukuza manabii, na roho ya uchafu, watoke katika nchi.


Msiingie kati ya mataifa haya, yaani, haya yaliyobaki kati yenu; wala msitaje majina ya miungu yao, wala kuwaapisha watu kwa majina hayo, wala kuitumikia, wala kujiinamisha mbele yao;


Kisha wakakusanya juu yake rundo kubwa la mawe hata leo; naye BWANA akauacha ukali wa hasira yake. Kwa sababu hiyo jina la mahali pale likaitwa, Bonde la Akori, hata leo.