Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hosea 1:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tena itakuwa siku ile, nitauvunja upinde wa Israeli katika bonde la Yezreeli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku hiyo, nitazivunja nguvu za kijeshi za Israeli huko bondeni Yezreeli.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku hiyo, nitazivunja nguvu za kijeshi za Israeli huko bondeni Yezreeli.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku hiyo, nitazivunja nguvu za kijeshi za Israeli huko bondeni Yezreeli.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Katika siku ile nitavunja upinde wa Israeli katika Bonde la Yezreeli.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Katika siku ile nitavunja upinde wa Israeli katika Bonde la Yezreeli.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena itakuwa siku ile, nitauvunja upinde wa Israeli katika bonde la Yezreeli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hosea 1:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

Katika siku za Peka mfalme wa Israeli akaja Tiglath-pileseri mfalme wa Ashuru, akatwaa Iyoni, na Abel-beth-maaka, na Yanoa, na Kedeshi, na Hazori, na Gileadi, na Galilaya, nchi yote ya Naftali; akawahamisha hao watu mpaka Ashuru.


Upanga wao utaingia mioyoni mwao wenyewe, Na nyuta zao zitavunjika.


Avikomesha vita hata mwisho wa dunia; Avunja uta, akata mkuki, achoma moto magari.


Kwa maana mwenye kuangamiza amefika kwake; Naam, amefika Babeli; Na mashujaa wake wametwaliwa; Pinde zao zimevunjika kabisa; Maana BWANA ni Mungu wa kisasi; Hakika yake yeye atalipa.


nami nitaupiga upinde wako, utoke katika mkono wako wa kushoto, na mishale yako nitaiangusha, itoke katika mkono wako wa kulia.


Nami siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mashamba kwa ajili yao, tena na ndege wa angani, tena na wadudu wa nchi; nami nitavivunja upinde na upanga na silaha vitoke katika nchi, nami nitawalalisha salama salimini.


Wana wa Yusufu wakasema, Hiyo nchi ya vilima haitutoshi sisi; lakini Wakanaani wote wakaao katika nchi ya bondeni wana magari ya chuma, hao walio katika Beth-sheani na miji yake, na hao walio katika bonde la Yezreeli pia.


Wakati huo Wamidiani na Waamaleki, na hao wana wa mashariki walikutana pamoja; wakavuka na kupanga hema zao katika bonde la Yezreeli.