Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 8:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

tena tangu waliopata umri wa miaka hamsini wasiendelee kuhudumu tena;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na kustaafu afikishapo umri wa miaka hamsini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na kustaafu afikishapo umri wa miaka hamsini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na kustaafu afikishapo umri wa miaka hamsini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

lakini watakapofika umri wa miaka hamsini, ni lazima waache kazi zao za kawaida wala wasiendelee.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

lakini watakapofika umri wa miaka hamsini, ni lazima waache kazi zao za kawaida wala wasiendelee.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

tena tangu waliopata umri wa miaka hamsini wasiendelee kuhudumu tena;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 8:25
4 Marejeleo ya Msalaba  

tangu waliopata umri wa miaka thelathini na zaidi, hata umri wa miaka hamsini utawahesabu; wote watakaoingia kutumika, ili kufanya kazi katika hema ya kukutania.


Mambo yawapasayo hao Walawi ni haya; tangu waliopata umri wa miaka ishirini na mitano na zaidi wataingia ndani ili wahudumu katika hema ya kukutania;


lakini watawasaidia na ndugu zao katika hema ya kukutania, kufanya kazi zao, lakini wasitumike katika huo utumishi tena. Ndivyo utakavyowafanyia Walawi katika mambo ya ulinzi wao.


Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda;