Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 4:40 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

hata wale waliohesabiwa kwao, kwa jamaa zao na nyumba za baba zao, walikuwa elfu mbili na mia sita na thelathini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

ilikuwa watu 2,630.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

ilikuwa watu 2,630.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

ilikuwa watu 2,630.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

waliohesabiwa kwa koo zao na jamaa zao, walikuwa elfu mbili na mia sita na thelathini (2,630).

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

waliohesabiwa kwa koo zao na jamaa zao, walikuwa 2,630.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

hata wale waliohesabiwa kwao, kwa jamaa zao na nyumba za baba zao, walikuwa elfu mbili na mia sita na thelathini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 4:40
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na Eleazari mwana wa Haruni kuhani atakuwa mkuu wa hao wakuu wa Walawi, naye atawasimamia hao wahudumu wa mahali patakatifu.


kuanzia wenye umri wa miaka thelathini na zaidi, hadi umri wa miaka hamsini, kila mtu aliyeingia katika utumishi, kwa kazi katika hema ya kukutania,


Hao ndio waliohesabiwa katika jamaa za wana wa Gershoni, wote waliotumika katika hema ya kukutania, ambao Musa na Haruni waliwahesabu kwa amri ya BWANA.