Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 4:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Fanya hesabu za wana wa Gershoni nao, kwa nyumba za baba zao, na jamaa zao;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Wahesabu watu wa ukoo wa Gershoni, kufuatana na familia na koo zao;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Wahesabu watu wa ukoo wa Gershoni, kufuatana na familia na koo zao;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Wahesabu watu wa ukoo wa Gershoni, kufuatana na familia na koo zao;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Wahesabu pia Wagershoni kwa jamaa zao na koo zao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Wahesabu pia Wagershoni kwa jamaa zao na koo zao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Fanya hesabu za wana wa Gershoni nao, kwa nyumba za baba zao, na jamaa zao;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 4:22
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na majina ya wana wa Gershoni kwa jamaa zao ni Libni na Shimei.


Katika Gershoni walikuwa jamaa ya Walibni, na jamaa ya Washimei, hawa ndio jamaa za Wagershoni.


Na mkuu wa nyumba ya baba zao Wagershoni atakuwa Eliasafu mwana wa Laeli.


Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,


tangu waliopata umri wa miaka thelathini na zaidi, hata umri wa miaka hamsini utawahesabu; wote watakaoingia kutumika, ili kufanya kazi katika hema ya kukutania.