Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 35:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini kama alimpiga kwa chombo cha chuma, akafa, ni mwuaji huyo; mwuaji hakika yake atauawa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Lakini mtu akimpiga mwenzake kwa kitu cha chuma, akafa, mtu huyo ni mwuaji na ni lazima auawe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Lakini mtu akimpiga mwenzake kwa kitu cha chuma, akafa, mtu huyo ni mwuaji na ni lazima auawe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Lakini mtu akimpiga mwenzake kwa kitu cha chuma, akafa, mtu huyo ni mwuaji na ni lazima auawe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Kama mtu akimpiga mwenzake kwa chuma naye mtu huyo akafa, mtu huyo ni muuaji; muuaji sharti atauawa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Kama mtu akimpiga mwenzake kwa chuma naye mtu huyo akafa, mtu huyo ni muuaji; muuaji sharti atauawa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini kama alimpiga kwa chombo cha chuma, akafa, ni mwuaji huyo; mwuaji hakika yake atauawa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 35:16
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitakuhukumu, kama wahukumiwavyo wake walioolewa wazinio, na kumwaga damu, nami nitakupatiliza damu ya ghadhabu na wivu.


Na mtu ampigaye mtu hadi akafa, lazima atauawa;