Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 33:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye Haruni alikuwa mtu wa umri wa miaka mia moja ishirini na mitatu hapo alipokufa katika mlima wa Hori.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aroni alikuwa na umri wa miaka 123 alipofariki juu ya Mlima Hori.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aroni alikuwa na umri wa miaka 123 alipofariki juu ya Mlima Hori.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aroni alikuwa na umri wa miaka 123 alipofariki juu ya Mlima Hori.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Haruni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka mia moja ishirini na tatu (123).

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Haruni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Haruni alikuwa mtu wa umri wa miaka mia moja ishirini na mitatu hapo alipokufa katika mlima wa Hori.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 33:39
3 Marejeleo ya Msalaba  

Huyo Musa alikuwa ni mtu wa miaka themanini umri wake, na Haruni alikuwa ni mtu wa miaka themanini na mitatu, hapo waliponena na Farao.


Haruni akakwea mlima wa Hori, kwa amri ya BWANA, akafa hapo, katika mwaka wa arubaini baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri, mwezi wa tano, siku ya kwanza ya mwezi.


Ndipo Mkanaani, mfalme wa Aradi, aliyekaa pande za Negebu katika nchi ya Kanaani akasikia habari za kuja kwao wana wa Israeli.