Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 32:40 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi Musa akampa Makiri, mwana wa Manase, Gileadi, naye akakaa humo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo, Mose akawapa watu wa ukoo wa Makiri mwana wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa humo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo, Mose akawapa watu wa ukoo wa Makiri mwana wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa humo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo, Mose akawapa watu wa ukoo wa Makiri mwana wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa humo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo Musa akawapa Wamakiri, wazao wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa huko.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo Musa akawapa Wamakiri, wazao wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa huko.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Musa akampa Makiri, mwana wa Manase, Gileadi, naye akakaa humo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 32:40
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na Segubu akamzaa Yairi, aliyekuwa mwenye miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.


Na nchi hiyo tuliitwaa ikawa milki yetu, wakati huo; kutoka Aroeri iliyo kwenye bonde la Arnoni, na nusu ya nchi ya milima ya Gileadi, na miji iliyokuwamo, niliwapa Wareubeni na Wagadi;


Hii ndiyo sehemu waliyopewa kabila la Manase; maana, yeye alikuwa ni mzaliwa wa kwanza, wa Yusufu. Na Makiri, mzaliwa wa kwanza wa Manase, babaye Gileadi, kwa sababu alikuwa mtu wa vita, basi alikuwa na Gileadi na Bashani.