Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 32:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na, Beth-nimra, na Beth-harani; miji yenye maboma, na mazizi ya kondoo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Beth-nimra na Beth-harani, miji yenye ngome na mazizi ya kondoo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Beth-nimra na Beth-harani, miji yenye ngome na mazizi ya kondoo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Beth-nimra na Beth-harani, miji yenye ngome na mazizi ya kondoo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Beth-Nimra na Beth-Harani kama miji iliyozungushiwa ngome, tena wakajenga mazizi kwa ajili ya makundi yao ya mbuzi na kondoo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Beth-Nimra na Beth-Harani kama miji iliyozungushiwa ngome, tena wakajenga mazizi kwa ajili ya makundi yao ya mbuzi na kondoo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na, Beth-nimra, na Beth-harani; miji yenye maboma, na mazizi ya kondoo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 32:36
4 Marejeleo ya Msalaba  

Atarothi, na Diboni, na Yazeri, na Nimra, na Heshboni, na Eleale, na Sebamu, na Nebo na Beoni,


na Atrothi-shofani, na Yazeri, na Yogbeha;


Na wana wa Reubeni wakajenga Heshboni, na Eleale, na Kiriathaimu;


tena katika bonde, Beth-haramu, na Bethnimira, na Sukothi, na Safoni, hiyo iliyosalia ya ufalme wa Sihoni mfalme wa Heshboni, yaani mto wa Yordani na kingo zake, mpaka mwisho wa bahari ya Kinerethi ng'ambo ya pili ya Yordani upande wa mashariki.