Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 32:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na Atrothi-shofani, na Yazeri, na Yogbeha;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Atroth-shofani, Yazeri, Yogbeha,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Atroth-shofani, Yazeri, Yogbeha,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Atroth-shofani, Yazeri, Yogbeha,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Atroth-Shofani, Yazeri, Yogbeha,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Atroth-Shofani, Yazeri, Yogbeha,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Atrothi-shofani, na Yazeri, na Yogbeha;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 32:35
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakavuka Yordani, wakapiga kambi huko Aroeri, upande wa kulia wa mji ulioko kati ya bonde la Gadi, na mpaka Yazeri;


Maana mashamba ya Heshboni yamenyauka, na mzabibu wa Sibma; mabwana wa mataifa wameyavunja matawi yake mateule; yamefika hadi Yazeri, yalitangatanga hadi jangwani matawi yake yalitapakaa, yaliivuka bahari.


Basi wana wa Reubeni, na hao wana wa Gadi, walikuwa na wanyama wa mifugo wengi sana; nao walipoona nchi ya Yazeri, na nchi ya Gileadi, ya kuwa mahali hapo palikuwa ni mahali pa kuwafaa wanyama;


Atarothi, na Diboni, na Yazeri, na Nimra, na Heshboni, na Eleale, na Sebamu, na Nebo na Beoni,


Kisha wana wa Gadi wakajenga Diboni, na Atarothi, na Aroeri;


na, Beth-nimra, na Beth-harani; miji yenye maboma, na mazizi ya kondoo.


Basi Gideoni alikwea kwa njia iliyotumiwa na misafara, ambayo ilikuwa mashariki mwa Noba na Yogbeha, akalishambulia hilo jeshi; kwa maana lile jeshi halikuwa na hadhari.