Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 32:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wana wa Gadi, na wana wa Reubeni, wakajibu na kusema, Kama BWANA alivyotuambia sisi watumishi wako, ndivyo tutakavyofanya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wa Gadi na wa Reubeni wakajibu, “Bwana, sisi tutafanya kama Mwenyezi-Mungu alivyotuambia sisi watumishi wako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wa Gadi na wa Reubeni wakajibu, “Bwana, sisi tutafanya kama Mwenyezi-Mungu alivyotuambia sisi watumishi wako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu wa Gadi na wa Reubeni wakajibu, “Bwana, sisi tutafanya kama Mwenyezi-Mungu alivyotuambia sisi watumishi wako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wagadi na Wareubeni wakajibu, “Watumishi wako watafanya lile Mwenyezi Mungu alilosema.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wagadi na Wareubeni wakajibu, “Watumishi wako watafanya lile bwana alilosema.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wana wa Gadi, na wana wa Reubeni, wakajibu na kusema, Kama BWANA alivyotuambia sisi watumishi wako, ndivyo tutakavyofanya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 32:31
4 Marejeleo ya Msalaba  

lakini ikiwa hawataki kuvuka pamoja nanyi, wakiwa wamevaa silaha zao, ndipo watakuwa na milki zao kati yenu katika nchi ya Kanaani.


Tutavuka, tukiwa tumevaa silaha zetu, mbele za BWANA, kuingia nchi ya Kanaani, nayo milki ya urithi wetu itakuwa ng'ambo ya pili ya Yordani.


Reubeni na aishi, asife; Lakini watu wake na wawe wachache.


Wakamjibu Yoshua, wakasema, Hayo yote uliyotuamuru tutayafanya, na kila mahali utakakotutuma tutakwenda.