Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 31:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wana wa Israeli wakawachukua mateka wanawake wa Midiani na watoto wao; na ng'ombe zao wote, na kondoo zao wote, na mali zao zote, wakachukua nyara.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waisraeli waliteka nyara: Ng'ombe, kondoo na mali yao yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waisraeli waliteka nyara: Ng'ombe, kondoo na mali yao yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waisraeli waliteka nyara: ng'ombe, kondoo na mali yao yote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Waisraeli waliwateka wanawake wa Midiani pamoja na watoto wao, na wakachukua makundi ya ng’ombe, kondoo na mali yao kama nyara.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Waisraeli waliwateka wanawake wa Kimidiani pamoja na watoto wao na walichukua makundi ya ng’ombe, kondoo na mali zao kama nyara.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wana wa Israeli wakawachukua mateka wanawake wa Midiani na watoto wao; na ng'ombe wao wote, na kondoo wao wote, na mali zao zote, wakachukua nyara.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 31:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wakatwaa na mali yao zote, watoto wao wote, na wake zao wakateka na hata wakapora vyote vilivyokuwemo nyumbani.


Wakazipiga pia hema za ng'ombe, wakachukua kondoo wengi na ngamia, wakarudi Yerusalemu.


Kwa hiyo BWANA, Mungu wake, akamtia mkononi mwa mfalme wa Shamu; wakampiga, wakachukua wa watu wake wafungwa wengi sana, wakawaleta Dameski. Tena akatiwa mkononi mwa mfalme wa Israeli, aliyempiga mapigo makuu.


Na miji yao yote, kila mahali walipokuwa wakikaa, na kambi yao yote wakayateketeza kwa moto.


(Kwa kuwa wanajeshi walikuwa wamechukua nyara kila mtu zake binafsi.)


Nao wafalme wa Midiani wakawaua pamoja na watu wengine waliouawa; Evi, na Rekemu, na Suri, na Huri, na Reba, hao wafalme watano wa Midiani; Balaamu mwana wa Beori naye wakamwua kwa upanga.


lakini wanawake na watoto, na wanyama wa miji, na vilivyo mjini vyote, navyo ni nyara zake zote, uvitwae viwe mateka kwako; nawe utakula nyara za adui zako alizokupa BWANA, Mungu wako.