Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 31:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nao wakapigana na Midiani kama BWANA alivyomwagiza Musa; nao wakawaua kila mwanamume.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waliishambulia nchi ya Midiani, kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose, wakawaua wanaume wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waliishambulia nchi ya Midiani, kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose, wakawaua wanaume wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waliishambulia nchi ya Midiani, kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose, wakawaua wanaume wote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walipigana dhidi ya Wamidiani, kama Mwenyezi Mungu alivyomwagiza Musa, nao waliua kila mwanaume.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walipigana dhidi ya Wamidiani, kama bwana alivyomwagiza Musa, nao waliua kila mwanaume.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao wakapigana na Midiani kama BWANA alivyomwagiza Musa; nao wakawaua kila mwanamume.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 31:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Niliziona hema za Kushani zikitaabika; Mapazia ya nchi ya Midiani yakatetemeka.


Na jambo mtakalotenda ni hili; mtamwangamiza kila mwanamume kabisa, na kila mwanamke ambaye amelala na mwanamume.


Wakati huo Wamidiani na Waamaleki, na hao wana wa mashariki walikutana pamoja; wakavuka na kupanga hema zao katika bonde la Yezreeli.


Tena Daudi akaipiga nchi hiyo, asimhifadhi hai mume wala mke, akateka nyara kondoo, na ng'ombe, na punda, na ngamia na mavazi; kisha akarejea na kufika kwa Akishi.