Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 31:53 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

(Kwa kuwa wanajeshi walikuwa wamechukua nyara kila mtu zake binafsi.)

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

(Kila askari alijichukulia nyara zake binafsi).

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

(Kila askari alijichukulia nyara zake binafsi).

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

(Kila askari alijichukulia nyara zake binafsi).

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kila askari alikuwa amejichukulia nyara zake binafsi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kila askari alikuwa amejichukulia nyara zake binafsi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

(Kwa kuwa wanajeshi walikuwa wamechukua nyara kila mtu zake binafsi.)

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 31:53
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nao Yehoshafati na watu wake walipokuja kuchukua nyara zao, wakakuta miongoni mwao mifugo wengi sana, mali, mavazi na vitu vya thamani, walivyojinyakulia, zaidi kuliko wawezavyo kuchukua; wakawa siku tatu katika kuteka nyara, maana zilikuwa nyingi sana.


Basi masazo ya hizo nyara walizotwaa watu wa vita, zilikuwa ni kondoo elfu mia sita na sabini na tano,


Na dhahabu yote ya sadaka ya kuinuliwa waliyosongeza kwa BWANA, ya makamanda wa maelfu, na makamanda wa mamia, ilikuwa shekeli elfu kumi na sita, mia saba na hamsini.


Wana wa Israeli wakawachukua mateka wanawake wa Midiani na watoto wao; na ng'ombe zao wote, na kondoo zao wote, na mali zao zote, wakachukua nyara.


lakini wanawake na watoto, na wanyama wa miji, na vilivyo mjini vyote, navyo ni nyara zake zote, uvitwae viwe mateka kwako; nawe utakula nyara za adui zako alizokupa BWANA, Mungu wako.