Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 31:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

lakini dhahabu, na fedha, na shaba, na chuma, na bati, na risasi,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Dhahabu, fedha, shaba, chuma, bati na madini ya risasi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Dhahabu, fedha, shaba, chuma, bati na madini ya risasi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Dhahabu, fedha, shaba, chuma, bati na madini ya risasi,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Dhahabu, fedha, shaba, chuma, bati, risasi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Dhahabu, fedha, shaba, chuma, bati, risasi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

lakini dhahabu, na fedha, na shaba, na chuma, na bati, na risasi,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 31:22
7 Marejeleo ya Msalaba  

Sila naye akamzaa Tubal-kaini, mfua kila chombo cha kukatia, cha shaba na cha chuma; na dada yake Tubal-kaini alikuwa Naama.


Chuma hufukuliwa katika ardhi, Na shaba huyeyushwa katika mawe.


Basi Musa, na Eleazari kuhani, na wakuu wote wa huo mkutano, wakatoka nje kwenda kuwalaki nje ya kambi.


Kisha Eleazari kuhani akawaambia wanaume wa vita wote waliokwenda vitani, Hii ndiyo amri ya sheria BWANA aliyomwagiza Musa;


kila kitu kiwezacho kuuhimili moto, mtakipitisha katika moto, nacho kitakuwa safi, pamoja na haya kitatakaswa kwa hayo maji ya utakaso; na kila kitu kisichouhimili moto mtakipitisha katika hayo maji.


Lakini fedha yote, na dhahabu, na vyombo vya shaba, na chuma, ni vitakatifu kwa BWANA; vitaletwa katika hazina ya BWANA.


Isipokuwa mifugo na nyara za mji Israeli wakatwaa wenyewe kuwa ni mapato yao, sawasawa na hilo neno la BWANA alilomwamuru Yoshua.