Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 26:56 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kama kura itakavyokuwa, ndivyo urithi wao utakavyogawanywa kati yao, hao wengi na hao wachache.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Urithi wa kila kabila utagawanywa kwa kura, kila kabila litapata kulingana na ukubwa au udogo wake.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Urithi wa kila kabila utagawanywa kwa kura, kila kabila litapata kulingana na ukubwa au udogo wake.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Urithi wa kila kabila utagawanywa kwa kura, kila kabila litapata kulingana na ukubwa au udogo wake.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama kura itakavyokuwa, ndivyo urithi wao utakavyogawanywa kati yao, hao wengi na hao wachache.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 26:56
5 Marejeleo ya Msalaba  

Tena itakuwa mtaigawanya kwa kura, kuwa urithi kwenu, na kwa wageni wakaao kwenu kama ugeni, watakaozaa watoto kati yenu, nao watakuwa kwenu, kama wazaliwa miongoni mwa wana wa Israeli; watakuwa na urithi pamoja nanyi kati ya makabila ya Israeli.


Lakini nchi itagawanywa kwa kura; kwa majina ya makabila ya baba zao, ndivyo watakavyopata urithi.


Na hao waliohesabiwa katika Walawi kwa jamaa zao ni hawa; wa Gershoni, jamaa ya Wagershoni; na wa Kohathi, jamaa ya Wakohathi; na wa Merari, jamaa ya Wamerari.


Imekuwaje basi? Kitu kile ambacho Israeli alikuwa akikitafuta hakukipata; lakini wale waliochaguliwa walikipata, na wengine walitiwa ugumu.


Basi kuna karama tofauti; bali Roho ni yeye yule.