Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 26:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wana wa Yusufu kwa jamaa zao; Manase na Efraimu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kabila la Yosefu baba yao Manase na Efraimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kabila la Yosefu baba yao Manase na Efraimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kabila la Yosefu baba yao Manase na Efraimu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wazao wa Yusufu kwa koo zao kutoka kwa Manase na kwa Efraimu walikuwa:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wazao wa Yusufu kwa koo zao kutoka kwa Manase na kwa Efraimu walikuwa:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wana wa Yusufu kwa jamaa zao; Manase na Efraimu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 26:28
9 Marejeleo ya Msalaba  

Walizaliwa kwake Yusufu katika nchi ya Misri, Manase na Efraimu, aliomzalia Asenathi binti Potifera, kuhani wa Oni.


Basi sasa wanao wawili uliozaliwa katika nchi ya Misri kabla sijaja kwako Misri ni watoto wangu, yaani, Efraimu na Manase watakuwa wangu, kama Reubeni na Simeoni.


Na wana wa nusu kabila la Manase walikaa katika nchi; nao wakaongezeka kutoka Bashani mpaka Baal-hermoni, na Seniri, na mlima Hermoni.


Wana wa Manase; Asrieli, ambaye suria yake, Mwarami, alimzalia, akamzalia na Makiri babaye Gileadi;


Katika wana wa Manase, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


Na kwa vitu vilivyo bora vya nchi, na kujaa kwake, Na uradhi wake aliyekaa ndani ya kile kichaka; Na ije baraka juu ya kichwa chake Yusufu, Juu ya utosi wa kichwa chake aliyetengwa na nduguze.


Kwa kuwa wana wa Yusufu walikuwa makabila mawili, Manase na Efraimu; nao hawakuwapa Walawi sehemu katika hiyo nchi, isipokuwa waliwapa miji wapate kuikaa, pamoja na viunga vyake kwa ajili ya mifugo wao, na kwa ajili ya riziki zao.