Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 25:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nao waliokufa kwa pigo hilo idadi yao ilikuwa elfu ishirini na nne.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waliokufa kutokana na maradhi yale mabaya walikuwa watu 24,000.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waliokufa kutokana na maradhi yale mabaya walikuwa watu 24,000.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waliokufa kutokana na maradhi yale mabaya walikuwa watu 24,000.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini wale waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa watu elfu ishirini na nne.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini wale waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa watu 24,000.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao waliokufa kwa pigo hilo idadi yao ilikuwa elfu ishirini na nne.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 25:9
11 Marejeleo ya Msalaba  

Basi BWANA akawaletea Israeli tauni tangu asubuhi hadi wakati ulioamriwa; nao wakafa watu elfu sabini toka Dani mpaka Beer-sheba.


BWANA akawapiga hao watu, kwa tauni kwa kuifanya ile ndama, ambayo Haruni aliifanya.


watu hao walioileta habari mbaya ya nchi wakafa kwa tauni mbele ya BWANA.


Akasimama kati ya hao waliokufa na hao waliokuwa wangali hai; tauni ikazuiwa.


Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,


Ikawa baada ya hilo pigo, BWANA akanena na Musa na Eleazari, mwana wa Haruni kuhani, na kuwaambia,


Tazama, hawa ndio waliowakosesha wana wa Israeli, kwa shauri la Balaamu, wamfanyie BWANA dhambi katika hilo jambo la Peori, na kwa hiyo pigo lilikuwa katika mkutano wa BWANA.


Wala msifanye uasherati, kama wengine wao walivyofanya, wakaanguka siku moja watu elfu ishirini na tatu.