Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 22:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Balaamu akaenda pamoja na Balaki wakafika Kiriath-husothi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Balaamu akaenda pamoja na Balaki wakafika mjini Kiriath-husothi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Balaamu akaenda pamoja na Balaki wakafika mjini Kiriath-husothi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Balaamu akaenda pamoja na Balaki wakafika mjini Kiriath-husothi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Balaamu alienda na Balaki hadi Kiriath-Husothi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Balaamu alikwenda na Balaki mpaka Kiriath-Husothi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Balaamu akaenda pamoja na Balaki wakafika Kiriath-husothi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 22:39
3 Marejeleo ya Msalaba  

Tena itakuwa, Moabu akionekana, na kujichosha kwa kulia juu ya mahali pa juu, na kuingia katika patakatifu pake aombe, hatapata kushinda.


Balaamu akamwambia Balaki, Tazama, nimekujia. Je! Mimi sasa nina uwezo wowote kusema neno lolote? Neno lile Mungu atakalolitia kinywani mwangu, ndilo nitakalolisema.


Balaki akachinja ng'ombe, na kondoo, akampelekea Balaamu na wale wakuu waliokuwa pamoja naye.