Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 17:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kisha wana wa Israeli wakanena na Musa, na kumwambia, Angalia, sisi tunakufa, tunaangamia, sote tunaangamia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waisraeli wakamwambia Mose, “Angalia sasa! Tunaangamia! Tumekwisha! Sote tumekwisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waisraeli wakamwambia Mose, “Angalia sasa! Tunaangamia! Tumekwisha! Sote tumekwisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waisraeli wakamwambia Mose, “Angalia sasa! Tunaangamia! Tumekwisha! Sote tumekwisha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Waisraeli wakamwambia Musa, “Tutakufa! Tumepotea, sote tumepotea!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Waisraeli wakamwambia Musa, “Tutakufa! Tumepotea, sote tumepotea!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha wana wa Israeli wakanena na Musa, na kumwambia, Angalia, sisi tunakufa, tunaangamia, sote tunaangamia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 17:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Maana tumeangamia kwa hasira yako, Na kwa ghadhabu yako tumezidiwa.


Upumbavu wa mtu hupotosha njia yake; Na moyo wake hununa juu ya BWANA.


Kwa kuwa sitashindana na watu siku zote, wala sitakuwa na hasira siku zote; maana roho ingezimia mbele zangu, na hizo nafsi nilizozifanya.


Ndipo niliposema, Ole wangu! Kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu; na macho yangu yamemwona Mfalme, BWANA wa majeshi.


Basi Musa akafanya hivyo; kama BWANA alivyomwagiza, ndivyo alivyofanya.


tena kwake yeye, na kizazi chake baada yake, litakuwa agano la ukuhani wa milele; kwa sababu alikuwa na wivu kwa ajili ya Mungu wake, na kuwafanyia upatanisho wana wa Israeli.


Hata hivyo, hao wana wa Kora hawakufa.


tena mmeyasahau yale maonyo, yasemayo nanyi kama kusema na wana, Mwanangu, usiyadharau maonyo ya Bwana, Wala usife moyo ukiadhibiwa naye;