Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 16:50 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Haruni akamrudia Musa pale mlangoni pa hema ya kukutania; hiyo tauni ikazuiwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Pigo lilipokoma, Aroni alirudi kwa Mose mlangoni mwa hema la mkutano.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Pigo lilipokoma, Aroni alirudi kwa Mose mlangoni mwa hema la mkutano.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Pigo lilipokoma, Aroni alirudi kwa Mose mlangoni mwa hema la mkutano.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Haruni akamrudia Musa kwenye mlango wa Hema la Kukutania, kwa maana tauni ilikuwa imekoma.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Haruni akamrudia Musa kwenye mlango wa Hema la Kukutania, kwa maana tauni ilikuwa imekoma.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Haruni akamrudia Musa pale mlangoni pa hema ya kukutania; hiyo tauni ikazuiwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 16:50
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na Musa na Haruni wakaenda hapo mbele ya hema ya kukutania.


Basi waliokufa kwa tauni walikuwa elfu kumi na nne na mia saba, zaidi ya hao waliokufa katika jambo la Kora.


Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,