Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 16:49 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi waliokufa kwa tauni walikuwa elfu kumi na nne na mia saba, zaidi ya hao waliokufa katika jambo la Kora.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Idadi ya watu waliokufa kwa pigo ilikuwa 14,700, bila kuhesabu wale waliokufa kutokana na uasi wa Kora.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Idadi ya watu waliokufa kwa pigo ilikuwa 14,700, bila kuhesabu wale waliokufa kutokana na uasi wa Kora.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Idadi ya watu waliokufa kwa pigo ilikuwa 14,700, bila kuhesabu wale waliokufa kutokana na uasi wa Kora.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini walikufa watu elfu kumi na nne na mia saba kutokana na tauni hiyo, licha ya wale waliokuwa wamekufa kwa sababu ya Kora.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini walikufa watu 14,700 kutokana na tauni hiyo, licha ya wale waliokuwa wamekufa kwa sababu ya Kora.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi waliokufa kwa tauni walikuwa elfu kumi na nne na mia saba, zaidi ya hao waliokufa katika jambo la Kora.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 16:49
10 Marejeleo ya Msalaba  

Basi BWANA akawaletea Israeli tauni; nao wakaanguka wa Israeli watu elfu sabini.


watu hao walioileta habari mbaya ya nchi wakafa kwa tauni mbele ya BWANA.


Akasimama kati ya hao waliokufa na hao waliokuwa wangali hai; tauni ikazuiwa.


Haruni akamrudia Musa pale mlangoni pa hema ya kukutania; hiyo tauni ikazuiwa.


Nao waliokufa kwa pigo hilo idadi yao ilikuwa elfu ishirini na nne.


Wala msinung'unike, kama wengine wao walivyonung'unika, wakauawa na mharibifu.


Angalieni msimkatae yeye anenaye. Maana ikiwa hawakuokoka wale waliomkataa yeye aliyewaonya juu ya nchi, zaidi sana hatutaokoka sisi tukijiepusha na yeye atuonyaye kutoka mbinguni;