Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 16:48 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akasimama kati ya hao waliokufa na hao waliokuwa wangali hai; tauni ikazuiwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alipofanya hivyo, pigo hilo lilikoma, naye akabaki katikati ya waliokufa na walio hai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alipofanya hivyo, pigo hilo lilikoma, naye akabaki katikati ya waliokufa na walio hai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alipofanya hivyo, pigo hilo lilikoma, naye akabaki katikati ya waliokufa na walio hai.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Haruni akasimama kati ya waliokuwa hai na waliokufa, nayo tauni ikakoma.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Haruni akasimama kati ya waliokuwa hai na waliokufa, nayo tauni ikakoma.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasimama kati ya hao waliokufa na hao waliokuwa wangali hai; tauni ikazuiwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 16:48
14 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Daudi akamjengea BWANA madhabahu huko, akatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Basi BWANA aliiridhia nchi, na tauni ikazuiliwa katika Israeli.


Ndipo Finehasi akasimama akafanya hukumu; Tauni ikazuiliwa.


Basi wakavitwaa kila mtu chetezo chake, wakatia na moto ndani yake, wakatia na uvumba juu ya moto, na kusimama pale mlangoni pa hema ya kukutania, pamoja na Musa na Haruni.


Kisha moto ukatoka kwa BWANA, ukawateketeza hao watu mia mbili hamsini waliofukiza uvumba.


Basi Haruni akakishika chetezo kama Musa alivyonena, akapiga mbio akaenda katikati ya mkutano; na tazama, tauni ilikuwa imeanza kati ya watu; akatia uvumba juu ya moto na kufanya upatanisho kwa ajili ya hao watu.


Basi waliokufa kwa tauni walikuwa elfu kumi na nne na mia saba, zaidi ya hao waliokufa katika jambo la Kora.


Baada ya hayo Yesu akamkuta ndani ya hekalu, akamwambia, Angalia, umekuwa mzima; usitende dhambi tena, lisije likakupata jambo lililo baya zaidi.


na kumngojea Mwanawe kutoka mbinguni, ambaye alimfufua katika wafu, naye ni Yesu, mwenye kutuokoa kutoka kwa ghadhabu itakayokuja.


Basi ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, ili mpate kuponywa. Sala yake mwenye haki ina nguvu nyingi, na hutenda mengi.