Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 16:45 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ondokeni kati ya mkutano, ili niwaangamize mara moja. Wao wakaanguka kifudifudi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Jitenge na watu hawa, niwaangamize mara moja!” Lakini wao wakajitupa chini kifudifudi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Jitenge na watu hawa, niwaangamize mara moja!” Lakini wao wakajitupa chini kifudifudi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Jitenge na watu hawa, niwaangamize mara moja!” Lakini wao wakajitupa chini kifudifudi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Jitenge mbali na kusanyiko hili ili niweze kuwaangamiza mara moja.” Wakaanguka kifudifudi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Jitenge mbali na kusanyiko hili ili niweze kuwaangamiza mara moja.” Wakaanguka chini kifudifudi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ondokeni kati ya mkutano, ili niwaangamize mara moja. Wao wakaanguka kifudifudi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 16:45
8 Marejeleo ya Msalaba  

Lutu akatoka na kusema na wachumba wa binti zake, akawaambia, “Ondokeni mahali hapa kwa sababu BWANA atauharibu mji huu”. Lakini akaonekana kama achezaye machoni pa wakwe zake.


Daudi akainua macho yake, akamwona huyo malaika wa BWANA amesimama kati ya nchi na mbingu, naye alikuwa na upanga wazi mkononi, umenyoshwa juu ya Yerusalemu. Ndipo Daudi na wazee wakaanguka kifudifudi, nao wamevaa nguo za magunia.


Nena na mkutano, na kuwaambia, Ondokeni ninyi hapo karibu na maskani ya Kora, na Dathani, na Abiramu.


Akasema na mkutano, na kuwaambia, Nawasihi, ondokeni penye hema za hawa watu waovu, wala msiguse kitu chao chochote, msiangamizwe katika dhambi zao zote.


Naye BWANA akanena na Musa, na kumwambia,


Musa na Haruni wakatoka pale palipokuwa mkutano, wakaenda hadi mlangoni pa hema ya kukutania, wakaanguka kifudifudi; utukufu wa BWANA ukawatokea.


Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniondokee; lakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.