Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 16:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na Musa na Haruni wakaenda hapo mbele ya hema ya kukutania.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mose na Aroni walikwenda, wakasimama mbele ya hema la mkutano,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mose na Aroni walikwenda, wakasimama mbele ya hema la mkutano,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mose na Aroni walikwenda, wakasimama mbele ya hema la mkutano,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Musa na Haruni wakaenda mbele ya Hema la Kukutania,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Musa na Haruni wakaenda mbele ya Hema la Kukutania,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Musa na Haruni wakaenda hapo mbele ya hema ya kukutania.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 16:43
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi ilikuwa, hapo huo mkutano ulipokuwa umekutanika kinyume cha Musa, na kinyume cha Haruni, wakaangalia upande wa hema ya kukutania; na tazama, hilo wingu likaifunika hema, na utukufu wa BWANA ukaonekana.


Naye BWANA akanena na Musa, na kumwambia,


Haruni akamrudia Musa pale mlangoni pa hema ya kukutania; hiyo tauni ikazuiwa.