Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 15:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hao waliomwona akikusanya kuni wakamleta kwa Musa na Haruni, na kwa mkutano wote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, mtu huyo akapelekwa mbele ya Mose, Aroni na jumuiya yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, mtu huyo akapelekwa mbele ya Mose, Aroni na jumuiya yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, mtu huyo akapelekwa mbele ya Mose, Aroni na jumuiya yote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale waliomkuta akikusanya kuni wakamleta kwa Musa, na Haruni na kusanyiko lote,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale waliomkuta akikusanya kuni wakamleta kwa Musa, Haruni na kusanyiko lote,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hao waliomwona akikusanya kuni wakamleta kwa Musa na Haruni, na kwa mkutano wote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 15:33
4 Marejeleo ya Msalaba  

nao wawaamue watu hawa sikuzote; kisha, kila neno lililo kubwa watakuletea wewe, lakini kila neno dogo wataliamua wenyewe; basi kwako wewe mwenyewe utapata nafasi zaidi, nao watauchukua huo mzigo pamoja nawe.


Kisha wakati huo wana wa Israeli walipokuwako jangwani, wakamwona mtu mmoja akikusanya kuni siku ya Sabato.


Nao wakamweka kifungoni, maana, lilikuwa halijasemwa atakalotendwa.