Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 14:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakaambiana, Na tumweke mtu mmoja awe kiongozi, tukarudi Misri.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi wakaanza kuambiana, “Na tuchague kiongozi, turudi Misri.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi wakaanza kuambiana, “Na tuchague kiongozi, turudi Misri.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi wakaanza kuambiana, “Na tuchague kiongozi, turudi Misri.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakasemezana wao kwa wao, “Inatupasa kumchagua kiongozi na kurudi Misri.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakasemezana wao kwa wao, “Inatupasa kumchagua kiongozi na kurudi Misri.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakaambiana, Na tumweke mtu mmoja awe kiongozi, tukarudi Misri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 14:4
11 Marejeleo ya Msalaba  

mkisema, La! Lakini tutakwenda nchi ya Misri, ambayo hatutaona vita, wala kuisikia sauti ya tarumbeta, wala kuona njaa kwa kukosa chakula; nasi tutakaa huko;


lakini mtakula muda wa mwezi mzima, hadi hapo nyama hiyo itakapotoka katika mianzi ya pua zenu, nanyi mtaikinai, kwa sababu mmemkataa BWANA aliye kati yenu, na kulia mbele zake, mkisema, Tulitoka Misri kwa maana gani?


Ndipo Musa na Haruni wakaanguka kifudifudi mbele ya kusanyiko la wana wa Israeli.


Mkumbukeni mkewe Lutu.


Mtu huyo baba zetu hawakutaka kumtii, bali wakamsukumia mbali, na kwa mioyo yao wakarejea Misri,


Ila asifanye farasi wake kuwa wengi, wala asiwarudishe watu Misri, ili apate kufanya farasi kuwa wengi; kwa kuwa BWANA amewaambia, Tangu sasa msirudie tena njia ile.


BWANA atakurudisha tena Misri kwa merikebu, kwa njia ambayo nilikuambia, Hutaiona tena popote; nanyi huko mtajiuza nafsi zenu kwa adui zenu kuwa watumwa na wajakazi, wala hapana atakayewanunua.


Na kama wangaliikumbuka nchi ile waliyotoka, wangalipata nafasi ya kurudi.