mkisema, La! Lakini tutakwenda nchi ya Misri, ambayo hatutaona vita, wala kuisikia sauti ya tarumbeta, wala kuona njaa kwa kukosa chakula; nasi tutakaa huko;
Hesabu 14:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Wakaambiana, Na tumweke mtu mmoja awe kiongozi, tukarudi Misri. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Basi wakaanza kuambiana, “Na tuchague kiongozi, turudi Misri.” Biblia Habari Njema - BHND Basi wakaanza kuambiana, “Na tuchague kiongozi, turudi Misri.” Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Basi wakaanza kuambiana, “Na tuchague kiongozi, turudi Misri.” Neno: Bibilia Takatifu Wakasemezana wao kwa wao, “Inatupasa kumchagua kiongozi na kurudi Misri.” Neno: Maandiko Matakatifu Wakasemezana wao kwa wao, “Inatupasa kumchagua kiongozi na kurudi Misri.” BIBLIA KISWAHILI Wakaambiana, Na tumweke mtu mmoja awe kiongozi, tukarudi Misri. |
mkisema, La! Lakini tutakwenda nchi ya Misri, ambayo hatutaona vita, wala kuisikia sauti ya tarumbeta, wala kuona njaa kwa kukosa chakula; nasi tutakaa huko;
lakini mtakula muda wa mwezi mzima, hadi hapo nyama hiyo itakapotoka katika mianzi ya pua zenu, nanyi mtaikinai, kwa sababu mmemkataa BWANA aliye kati yenu, na kulia mbele zake, mkisema, Tulitoka Misri kwa maana gani?
Mtu huyo baba zetu hawakutaka kumtii, bali wakamsukumia mbali, na kwa mioyo yao wakarejea Misri,
Ila asifanye farasi wake kuwa wengi, wala asiwarudishe watu Misri, ili apate kufanya farasi kuwa wengi; kwa kuwa BWANA amewaambia, Tangu sasa msirudie tena njia ile.
BWANA atakurudisha tena Misri kwa merikebu, kwa njia ambayo nilikuambia, Hutaiona tena popote; nanyi huko mtajiuza nafsi zenu kwa adui zenu kuwa watumwa na wajakazi, wala hapana atakayewanunua.