Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 14:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kisha Musa akawaambia wana wa Israeli wote maneno haya, na hao watu wakaomboleza sana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye Mose aliwaambia Waisraeli wote nao walilia kwa uchungu mwingi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye Mose aliwaambia Waisraeli wote nao walilia kwa uchungu mwingi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye Mose aliwaambia Waisraeli wote nao walilia kwa uchungu mwingi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Musa alipotoa taarifa hii kwa Waisraeli wote, waliomboleza kwa uchungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Musa alipotoa taarifa hii kwa Waisraeli wote, waliomboleza kwa uchungu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha Musa akawaambia wana wa Israeli wote maneno haya, na hao watu wakaomboleza sana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 14:39
8 Marejeleo ya Msalaba  

Watu waliposikia habari hizo mbaya wakaomboleza wala hakuna mtu aliyevaa mapambo yake.


Upumbavu wa mtu hupotosha njia yake; Na moyo wake hununa juu ya BWANA.


BWANA, katika taabu zao walikwenda kwako; waliomba maombi mengi wakati adhabu yako ilipokuwa juu yao.


Waambieni, Kama niishivyo, asema BWANA, hakika yangu kama ninyi mlivyonena masikioni mwangu, ndivyo nitakavyowafanyia ninyi;


Lakini Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, wakabaki hai miongoni mwa wale watu waliokwenda kuipeleleza nchi.


bali wana wa ufalme watatupwa katika giza la nje, ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


Maana mnajua ya kuwa hata alipotaka baadaye kuirithi baraka, alikataliwa (maana hakuona nafasi ya kutubu), ijapokuwa aliitafuta sana kwa machozi.


Ndiposa wana wa Israeli hawawezi kusimama mbele ya adui zao; wakawapa visogo adui zao, kwa sababu wamelaaniwa; mimi sitakuwa pamoja nanyi tena, msipokiharibu kitu kile mlicho nacho kilichowekwa wakfu.